Nauza Furniture za ofisi

Nauza Furniture za ofisi

BizMogul

Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
42
Reaction score
11
Wakuu habari nimeamua kufunga ofisi yangu kutokana na biashara kuwa ndivyo sivyo, nina meza kubwa,printer,cabinet na meza ya reception na kiti cha reception,pamoja na viti vya wageni vinne,
bei ni maelewano...kwa picha njoo pm
 
Mkuu unatuuzia mbuzi kwenye gunia...weka picha tafadhali
 
Weka picha mkuu taja na mahali ulipo
 
na tangazo ungelitolea pm mkuu.... picha tu imekushinda kuweka ? biashara matangazo babu ungeambataniisha na picha, nani akufate pm ? kizuri kinajiuza........
 
Weka picha pamoja na bei ya printer
 
Weka picha pamoja na bei ya printer
Printer 450 mkuu dukani ni 680
c8012a96c25214b71193ad42f8e30ac3.jpg
 
Mkuu weka picha ya meza na kiti cha ofisi pamoja na viti vya wageni. Asante
 
Back
Top Bottom