NAUZA ENEO

NAUZA ENEO

maga junior

Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
19
Reaction score
1
Wadau nauza eneo lenye ukubwa wa heka 3 lipo Msanga Chamwino Ikulu Dodoma mwenye uhitaji mawasiliano nicheki 0712877148
 
Punguza bei maana eneo lipo jirani sana na chanzo cha maji.
 
Mbona umepoteaa?? Punguza bei kidogo maana eneo ni zuri saana!! Jf rahaaa
 
Dodoma kwa sasa si mahali salama kununua maeneo ambayo hayajapimwa. Hivi karibuni Serikali ilishatoa tahadhali hii.
Tangazo lilibatilishwa kaka ila kama unaona sio eneo salama sawa lkn watu wanawekeza kupita kiasi
 
Ungekuwa mtoto wako ni yule dogo Athony wa Karagwe, angekupeleka polisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom