Nauza Eneo ekari 2.5 Chalinze

Nauza Eneo ekari 2.5 Chalinze

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
227
Reaction score
517
Habari wadau: Nauza eneo langu binafsi ekari 2.5, lipo chalinze bwawani, umbali kutoka barabara ya lami ni mita 300 lipo katikati ya makazi ya watu, access ya umeme ipo na maji, eneo limepakana na kanisa katoliki na hospitali mpya ya kijiji cha bwawani, jamii ya wakazi inayozunguka hapo ni askari magereza na wanajeshi kiasi, eneo halina mgogoro linafaa kwa makazi, kilimo cha aina yoyote au ufugaji. Nilinunua tsh mil 2.5 miaka 5 iliyopita nauza mil 3.5! Sababu za kuuza vyuma vimekaza! Karibuni unaweza nipm au ukanicall
 
Back
Top Bottom