Nauza digital camera sony

Nauza digital camera sony

SONY DIGITAL CAMERA.
10.1 Mega Pixels
4x Optical Zoom
2GB MEMORY CARD
Nimeinunua mpya wiki 2 zilizopita nimeitumia kupiga picha kwenye harusi na mahafali.
Ipo full na components zote kama USB na CD.
BEI NI TSH. 220,000 TU.
Kama upo interested ni PM

Mkuu mi nina 100,000/=
 
kweli biashara mapatano!!

yy kasema M-Pm ndo mnaweza patana, inawezekana hata akakupa kwa bei ya chin ya hapo kama ana shida na huo mkwanja, vinginevy anaweza akakujibu maneno mabaya, jaribu uone mwisho wake.
 
kitu bado kipo sokoni wakuu, hakuna mnunuzi?
 
am serious!!naongeza dau fanya 140,000/= cash... Kwani inazidi kudepriciate!
 
Siri ya hizi Camera ni kwamba kama betri yake ni Lithium za kuchaji basi hiyo ni nzuri na inastahili hiyo bei. Lakini kama inatumia zile AA za dukani basi ni low quality product na hata kwa sh 100,000 bado itakuwa ghali
 
Mkuu uko wapi mm niko mwanza na niko interested niambie tudiscuss deal faster
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom