Nauza Desk Top na Lap Top Computers zangu Bei Poa

Nauza Desk Top na Lap Top Computers zangu Bei Poa

Dela

Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
78
Reaction score
13
Habari za Leo Wakuu, kutokana na kukwama kwa mambo yangu mengi nimeamua kuuza bidhaa tajwa hapo juu, nna miliki Laptop na Desk Top Computers, Sifa zake ni hizi:-

1. Lap Top
Model - Acer Aspire E-531
15.6 HD LED LCD
1.8Ghz
2GB DDR3 Memory
320 GB HDD
DVD Super Multi DL Drive
6 Cell Li-ion Batter (Inakaa na Charge Kuanzia Masaa 4 hadi 5)
Ina Miezi 5 tangu niinunue, ina warranty bado, nilinunua Tsh 525,000/= Pamoja na Begi lake, nami Naiuza Tsh 400,000 Pamoja na Begi Lake.

2. Desk Top
ni Hp Desktop, ina Monitor Flat Screen Inch 22, Boonge la Screen.
Speed ni 3.2 Ghz
Ram ni 1 Gb
Dvd Writer
80 GB HDD

Nilinunua vyote kwa Tsh 385,000/= Nami nauza Tsh 300,000/=, ni nzuri, ngumu na inapiga mzigo sana, binafsi naikubali sana. Nna shida ya dharula, kitachokuvutia ni Pm tufanye Biashara.

Pics ni Hizi:-
 

Attachments

  • hp inc 22.jpg
    hp inc 22.jpg
    25.7 KB · Views: 183
  • IMG0158A.jpg
    IMG0158A.jpg
    8.1 KB · Views: 210
  • IMG0153A.jpg
    IMG0153A.jpg
    7.3 KB · Views: 211
  • IMG0157A.jpg
    IMG0157A.jpg
    7.2 KB · Views: 214
Daa bahati mbaya hera imepelea!!! But ukishindwa sana nitafte hyo laptonga kwa 250
 
Habari za Leo Wakuu, kutokana na kukwama kwa mambo yangu mengi nimeamua kuuza bidhaa tajwa hapo juu, nna miliki Laptop na Desk Top Computers, Sifa zake ni hizi:-

1. Lap Top
Model - Acer Aspire E-531
15.6 HD LED LCD
1.8Ghz
2GB DDR3 Memory
320 GB HDD
DVD Super Multi DL Drive
6 Cell Li-ion Batter (Inakaa na Charge Kuanzia Masaa 4 hadi 5)
Ina Miezi 5 tangu niinunue, ina warranty bado, nilinunua Tsh 525,000/= Pamoja na Begi lake, nami Naiuza Tsh 400,000 Pamoja na Begi Lake.

2. Desk Top
ni Hp Desktop, ina Monitor Flat Screen Inch 22, Boonge la Screen.
Speed ni 3.2 Ghz
Ram ni 1 Gb
Dvd Writer
80 GB HDD

Nilinunua vyote kwa Tsh 385,000/= Nami nauza Tsh 300,000/=, ni nzuri, ngumu na inapiga mzigo sana, binafsi naikubali sana. Nna shida ya dharula, kitachokuvutia ni Pm tufanye Biashara.

Pics ni Hizi:-

Unaweza kuniuzia hiyo monitor peke yake?
 
nipo Arusha naipataje hiyo hp mkuu
Hauna Ndugu DSM? Mtumie yeye? nta kutana naye, ataiangalia then yeye ndo atafanya Biashara au unapendekezaje Mkuu? halafu nna muda sijaja A city? ka vipi nikatie tiketi ya kuja na ya kurudi ntalipia mwenyewe, nna jamaa yangu pande za moshono, its about time nimtembelee.
 
Hauna Ndugu DSM? Mtumie yeye? nta kutana naye, ataiangalia then yeye ndo atafanya Biashara au unapendekezaje Mkuu? halafu nna muda sijaja A city? ka vipi nikatie tiketi ya kuja na ya kurudi ntalipia mwenyewe, nna jamaa yangu pande za moshono, its about time nimtembelee.

mbona nime ku PM lakini kimya 2.!
 
Habari Wakuu, Mpaka Sasa nimepata ofa za sh 350,365 na 370 kwa laptop. kwa yule aliyeni pm within such price range naimani mwenye dau kubwa kesho tutafanya biashara, though bei yangu ya mwisho ni 380. namalizia kupunguza baadhi ya mafaili yangu. Shukrani
 
Back
Top Bottom