Nauza Cofee table 150k

kuna picha moja imekaa kama chura,
meza nzuri for future use.. watoto wangu wataifanya pool table
 
...kwangu siku ya tatu tu natupa skrepa, maana watoto wangu ...! hahahhahhaaaaa...?
Malezi yako yana harufu kubwa ya kuwadekeza au watoto wako hawasikii wakiambiwa.Nilinunua coffee table ya kioo kama hiyo tangu 2012,mpaka leo hakuna kreki wala nn, na nina watoto na ndugu wengine chini ya 18yrs.
Tuwafundishe taratibu tu kuwa "usichee hapa na ucheze pale".Mtoto umleavyo ndio akuavyo!!
 
Mimi sijaelewa unauzaje...??? Ni duka au umetumia kwako umeichoka now unaamua kuuza..??? Pia julisha Kama unazo nyingi au ni hio moja tu
 
...kwangu siku ya tatu tu natupa skrepa, maana watoto wangu ...! hahahhahhaaaaa...?
Wewe kama kwangu best,hukawii kukuta wamelala juu ya meza,halafu ikivunjika kila mtu hajui.
 
Sio kweli kuwa anawadekeza inawezekana wewe pia kwa ustrict wako ndio unawaharibu watoto.
 
Nikiangalia kwa umakini hiyo meza picha ya cobra inanijia sijui kwanini
 
Bora watoto waharibike kama unavyodai kuliko kuacha waharibu vitu,siwezi ishi kama mbuzi kisa nina watoto wadogo,nyumba lazima iwe smart kwa kadiri iwezekanavyo!!
 
Bora watoto waharibike kama unavyodai kuliko kuacha waharibu vitu,siwezi ishi kama mbuzi kisa nina watoto wadogo,nyumba lazima iwe smart kwa kadiri iwezekanavyo!!
Mtoto wa miaka mitatu kwenda minne huwa anafanya anacho jiskia Hata ukimkataza ni sawa na bure
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…