Unamawazo mazuri lakini hayajengi zaidi yanapotosha umma, ungekua mjanja ungeuliza kwanza kuusu ilo na ukaomba kuthibishiwa kua sio ya magendo, mtu mwenye akili timamu hua anapinga kwa hoja na sio kuongelea hewani, all in all pikipiki sio ya wizi nnaiuza kwa sabab fulani. VERY SORRY BROTHER KAMA NTAKUA NMEKUKERA KWA MANENO YANGU
Sent using
Jamii Forums mobile app