Desmond Kamala
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 134
- 8
nauza smartphone blackberry z10 ina storage gb16 ram 2gb..ina miezi mitatu..nichek 0624055251
upo chini sana mkuuLaki ipo
pole sana..hii z10 ni tamu aisee kwa anaeijuaUmenikumbusha BB yangu. .... ilikwapuliwa na washenzi.... nikachukua z30 ila haikuwa tamu kama z10. Nikahama hiyo brand mazima.
Pichanauza smartphone blackberry z10 ina storage gb16 ram 2gb..ina miezi mitatu..nichek 0624055251
pole sana..hii z10 ni tamu aisee kwa anaeijua
inayo mkuuje ina whatsapp na instagram app..?
dar kkooUko wapi
yaah sanaaaSimu nzuri sana hiyo,nina miaka nayo minne,na bado inapiga kazi njema.