M MACHONDELA JF-Expert Member Joined May 7, 2018 Posts 944 Reaction score 1,590 May 21, 2020 #1 Wakuu habari zenu, nimepatwa na shida inayohitaji kupata pesa ya pamoja hivyo nimeamua kuuza bajaji yangu iliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam. Bajaji ipo katika hali nzuri, ruksa kuja na fundi wako kuikagua. Bei ni 3.5m. Kwa mawasiliano nicheki 0679993123 Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari zenu, nimepatwa na shida inayohitaji kupata pesa ya pamoja hivyo nimeamua kuuza bajaji yangu iliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam. Bajaji ipo katika hali nzuri, ruksa kuja na fundi wako kuikagua. Bei ni 3.5m. Kwa mawasiliano nicheki 0679993123 Sent using Jamii Forums mobile app