Nauza asali

Nauza asali

Joined
Oct 3, 2015
Posts
25
Reaction score
1
Ndugu wana JF, nauza asali ya nyuki wakubwa. Lita tsh 10,000 kwa bei ya jumla, dumu la lita ishirini ni sh 150,000.

Soko linanisumbua, msaada jamani.

Simu 0674003082
 
Ndugu wana JF, nauza asali ya nyuki wakubwa. Lita tsh 10,000 kwa bei ya jumla, dumu la lita ishirini ni sh 150,000.

Soko linanisumbua, msaada jamani.

Simu 0674003082

Nihakikishie ubora wake kwanza, why should I buy your honey and not from someone else?
 
Ndugu wana JF, nauza asali ya nyuki wakubwa. Lita tsh 10,000 kwa bei ya jumla, dumu la lita ishirini ni sh 150,000.

Soko linanisumbua, msaada jamani.

Simu 0674003082

weka vizuri bei..bei ya lita rejareja ni elfu kumi..jumla sio hio..na ni bei ya nchi nzima.fanya utafiti wa soko ili uuze mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom