Nautabiria mafanikio Wimbo mpya wa Tekno-Be

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,208
Jamaa yupo serious na kazi,
Yani kazi juu ya kazi ile Nganganga!
Sasa leo asubuhi ameyabariki masikio yetu kwa kuachia dude flani la kubengika, Dah Sijui ndio kipya kinyemi au vipi ila kwa upande wangu naona huu wimbo ni mzuri na kijana amejitahidi hasahasa pale track ilipowekewa mikono ya baraka na Dbanj the legend mzee wa oliver twist.
Anyway kwa ambao hamuujui wimbo unaitwa TEKNO- BE.
.
Utafute uusikilize alafu uje utoe maoni yako
 
Tekno angekuwa mbogo mngemponda sana maana jamas kila siku anaachia ngoma
Mwaka huu tayari kashaachia
Rara
Yawa
Be
Kuna nyingine anaipromote anaitoa soon inaitwa Go

Wabongo mlivyo na gubu mngesema huyu nae nyimbo zake zinachuja kila siku anaachia ngoma mpya
 
Tekno angekuwa mbogo mngemponda sana maana jamas kila siku anaachia ngoma
Mwaka huu tayari kashaachia
Rara
Yawa
Be
Kuna nyingine anaipromote anaitoa soon inaitwa Go

Wabongo mlivyo na gubu mngesema huyu nae nyimbo zake zinachuja kila siku anaachia ngoma mpya
Bado hajamfikia wizkid kila mwezi anaachia mpaka sasa ameachia NNE tangu mwezi wa kwanza
 
Yaani huwa namkubali sana huyu dogo bila kumsahau mr flavour
 
Tekno - Be nimeiskia jana usiku, ni kali, ila producer Sarz nafikiri amsubiri Tekno kwenye kunyonga beat.
 
Back
Top Bottom