kutoa mimba ni swala la hiali ya mtu azae au asizae.
Binafsi naona maisha yatakuwa bora zaidi maana watu wanaingia garama za kulea viumbe ambavyo havikustaili kuwepo duniani vinapata taabu na kutaabika kama kutupwa,kukosa malezi,kukosa chakula,kukosa elimu bora,kukosa pakulala n.k
kwa hiyo utoaji mimba naona utatusaidia sana kupima kabla kukiacha kiumbe kitoke duniani tutaweza kikimudu na kikitunza?kama huweni bora kuishusha tu mimba hiyo.