M Mkunangwa Member Joined Sep 25, 2014 Posts 7 Reaction score 0 Jul 19, 2015 #1 Naamini wote mu wazima. Naomba kuuliza kwa anayejua nauli ya kutoka Dar mpaka Kampala Uganda kwa sasa ni shillingi ngapi kwa basi?
Naamini wote mu wazima. Naomba kuuliza kwa anayejua nauli ya kutoka Dar mpaka Kampala Uganda kwa sasa ni shillingi ngapi kwa basi?
C chiborie JF-Expert Member Joined Sep 24, 2011 Posts 491 Reaction score 345 Jul 20, 2015 #2 Elfu Tisini na Tano Kampala Coach