A
Anonymous
Guest
Magali (mini bus) yanayobeba abiria kutokea Machinga complex kuelekea Chanika, yamekuwa yakipandisha nauli kiholela, ambapo nauli halisi ni 1300Tsh wao wamekua wakitoza 1900 mpaka 2000 kwani huanza kupakia abiria Karume, Wanajaza ndio wanaingia stand Machinga complex.
Hii imekua kero LATRA iliangalie hili jambo, tafsiri nauli imekuwa mtu akihitaji gari kuelekea Chanika inabidi aende Karume ambapo atalipa 1900 au 2000. Then gari ndio itapita Machinga complex kupokea abiria hivyo basi Kuna kuwa na Nauli 2 kutoka Chanika kwenda Kariakoo
Hii imekua kero LATRA iliangalie hili jambo, tafsiri nauli imekuwa mtu akihitaji gari kuelekea Chanika inabidi aende Karume ambapo atalipa 1900 au 2000. Then gari ndio itapita Machinga complex kupokea abiria hivyo basi Kuna kuwa na Nauli 2 kutoka Chanika kwenda Kariakoo