prumpeti
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 1,023
- 2,315
Habari za jumapili natumaini mpo wazima kabisa baada ya ibada sasa ni muda wa kumpa Kaisari yalio yake...
Kwanza kabisa nitangulize samahani nikiwa kama mwanachama wa rank ya juu kabisa wa chama cha wanaume bahili Tanzania siku ya ijumaa nilikengeuka ikapelekea kukiuka miiko ya chama chetu na kutuma nauli ya Tanga mpaka jijini hapa upande wa kaskazini..
Nasikitika kusema nauli imeliwa na simu imezimwa tokea siku ya jana hata leo.
Ukweli haikuwa pisi ngeni ndo kilicho pelekea kuamini na kufikia hatua ya kutuma nauli. Mtoto tulikuwa pamoja na nimeshafaidi utelezi zaidi ya mara tano kwa bahati mbaya miezi miwili nyuma aliondoka hapa jijini kurudi nyumbani kwao huko TA.
Siku moja baada ya kufika kwako mahusiano yaliingia dosari mana kama mnavyojua fimbo ya mbali..............Basi baada ya kutowasiliana kwa kipindi wiki jana mtoto akanitafuta akanambia ameshakaa nyumbani vya kutosha hivyo anatamani kurudi jijini mana kweli amezikumbuka show za kibabe ila changamoto ni nauli.
Bassi sababu cash haikuwa mzozo kwa kipindi hiki chap nikamsukumia mtonyo 50k kwa mpesa mtoto akanijulisha amepata na anaanza maandalizi ya safari ambayo ilikuwa iwe j mosi siku ya jana kweli jana kukakucha vizuri mtoto akanicheki mapema asubuhi tayari yupo kwa gari nikasema ewaaaah.
Nikamcheki badae mchana akaniambia yupo maeneo yani nusu ya safari japo amechoka sana hivyo simu anaweka kwenye begi kuhofia kusinzia anaweza akaibiwa hivyo atanicheki akikaribia. na haya ndo yalikuwa mawasiliano ya mwisho.
Ilipofika jion kupiga simu nasikia sauti ya customer care: NAULI ULIYOTUMA UMEPIGWA. na ndo jibu nililopewa tena asubuhi ya Leo
Kinacho niuma sio nauli ni vipi kama nitakuwa nimemsafirishia muhuni mwingine kitoweo...???nikiwaza hili stimu za bia zinakata. Ngoja nijaribu Kvant.
:Angalizo kwa wahuni usitume nauli hata kama unamjua...
Kwanza kabisa nitangulize samahani nikiwa kama mwanachama wa rank ya juu kabisa wa chama cha wanaume bahili Tanzania siku ya ijumaa nilikengeuka ikapelekea kukiuka miiko ya chama chetu na kutuma nauli ya Tanga mpaka jijini hapa upande wa kaskazini..
Nasikitika kusema nauli imeliwa na simu imezimwa tokea siku ya jana hata leo.
Ukweli haikuwa pisi ngeni ndo kilicho pelekea kuamini na kufikia hatua ya kutuma nauli. Mtoto tulikuwa pamoja na nimeshafaidi utelezi zaidi ya mara tano kwa bahati mbaya miezi miwili nyuma aliondoka hapa jijini kurudi nyumbani kwao huko TA.
Siku moja baada ya kufika kwako mahusiano yaliingia dosari mana kama mnavyojua fimbo ya mbali..............Basi baada ya kutowasiliana kwa kipindi wiki jana mtoto akanitafuta akanambia ameshakaa nyumbani vya kutosha hivyo anatamani kurudi jijini mana kweli amezikumbuka show za kibabe ila changamoto ni nauli.
Bassi sababu cash haikuwa mzozo kwa kipindi hiki chap nikamsukumia mtonyo 50k kwa mpesa mtoto akanijulisha amepata na anaanza maandalizi ya safari ambayo ilikuwa iwe j mosi siku ya jana kweli jana kukakucha vizuri mtoto akanicheki mapema asubuhi tayari yupo kwa gari nikasema ewaaaah.
Nikamcheki badae mchana akaniambia yupo maeneo yani nusu ya safari japo amechoka sana hivyo simu anaweka kwenye begi kuhofia kusinzia anaweza akaibiwa hivyo atanicheki akikaribia.
Ilipofika jion kupiga simu nasikia sauti ya customer care: NAULI ULIYOTUMA UMEPIGWA. na ndo jibu nililopewa tena asubuhi ya Leo
Kinacho niuma sio nauli ni vipi kama nitakuwa nimemsafirishia muhuni mwingine kitoweo...???nikiwaza hili stimu za bia zinakata. Ngoja nijaribu Kvant.
:Angalizo kwa wahuni usitume nauli hata kama unamjua...