nimeicheki gsmarena haina band 20 ya tigo ina band 40 ya smart.
hapa inamaana huwezi tumia 4g ya tigo ila utaweza ya smart.
ila sd 410 inayo 4g ya tigo ila nahisi kutokana ni simu iliotengenezwa kutumika mazingira ya china wakachaqgua yenye frequency za kichina kama hio band 40 (2300mhz).
cheki na smart naona hata vifurushi siku hizi wamepunguza bei vya 4g.