jayleoncy112
Senior Member
- Jul 17, 2016
- 164
- 73
- Thread starter
- #21
hapana,Unatumia vidonge vya uzazi wa mpango??
Damu inatoka ya rangi gani? Kuna mabonge?
Damu ya kawaida ila nyepesi
hapana,Unatumia vidonge vya uzazi wa mpango??
Damu inatoka ya rangi gani? Kuna mabonge?
Umri wako!???
Nahitaji kuandika ila naona nimetingwa kidogo, kwa ufupi nenda hospitalini ukafanyie physical examination kwa kutumia vaginoscopy ambao dakatari atachunguza kama kuna mabadiliko yoyote katika cervix, au kuta za uke wako na kama atakuta kuna mabadiliko basi itambidi achukue sampuli kidogo kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Naomba niandike kwa undani zaidi kwa hapo baadae maana kuna kazi imenitinga kidogo hapa mkuu.
Ila kwa dalili za mwanzo hapo inaweza kuwa una tatizo au unaelekea kupata cervical cancer.
mnanitisha jmn... Cancer tenaPole sana binti, kwa maelezo yako nahisi hiyo ni moja ya dalili za saratani ya shingo ya kizazi.
Kumbuka saratani ya shingo ya kizazi yaweza kutibika iwapo itagundulika mapema.PAP TEST (PAPANICOLAOUS TEST);Pap-Smear ni test ambayo hutumika kuchunguza mabadiliko ya chembe zilizoko katika mlango wa kizazi ili kugundua mabadiliko yanayotokea katika chembe hizo na hivyo kuwahi kuyakabili mapema.
Hatukutishi mkuu, hiya nimeyajibu kutokana na maelekezo uliyo yatowa pale mwanzoni.mnanitisha jmn... Cancer tena
Hatukutishi mkuu, hiya nimeyajibu kutokana na maelekezo uliyo yatowa pale mwanzoni.
Na pia yaweza kuwa ni hisia tu mkuu, hiyo haupaswi kuogopa zaidi nakushauri uende hospital ili ukapate uhakika kutoka kwa wataalamu.
Pia nahisi tiba na vipimo vya saratani ya shingo ya uzazi hutolewa bure kabisa.
Mabaharia wanafeli wapi...?Haya, ebu elezea pia kuhusu hiyo picha nilio iambatanisha hapo chini tafadhali....View attachment 1195563
Nahitaji kuandika ila naona nimetingwa kidogo, kwa ufupi nenda hospitalini ukafanyie physical examination kwa kutumia vaginoscopy ambao dakatari atachunguza kama kuna mabadiliko yoyote katika cervix, au kuta za uke wako na kama atakuta kuna mabadiliko basi itambidi achukue sampuli kidogo kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Naomba niandike kwa undani zaidi kwa hapo baadae maana kuna kazi imenitinga kidogo hapa mkuu.
Ila kwa dalili za mwanzo hapo inaweza kuwa una tatizo au unaelekea kupata cervical cancer.
mnanitisha jmn... Cancer tena
Hapo shida yako inaweza kuwa imesababishwa na vitu vingi..hapana,
Damu ya kawaida ila nyepesi
Je kama angetumia hizo dawa za kupanga uzazi kutoka damu kama hivyo ni kawaida? Isingekua na uhusiano na hiyo cervical cancer wanayo iongelea wadau? Kuna mtu nimekutana nae anashida kama ya mleta mada..Unatumia vidonge vya uzazi wa mpango??
Damu inatoka ya rangi gani? Kuna mabonge?
Damu kutoka ukeni kama sio hedhi SIO kawaida.Je kama angetumia hizo dawa za kupanga uzazi kutoka damu kama hivyo ni kawaida? Isingekua na uhusiano na hiyo cervical cancer wanayo iongelea wadau? Kuna mtu nimekutana nae anashida kama ya mleta mada..
Punguza uoga kijana, mwambie huyo msichana wako afike hospitali
Mwisho wa siku aibu huwa naona mimi...tehMabaharia wanafeli wapi...?