Noma sanaHaha....hatari sana...mie mwenyewe ilibidi nisome mara mbili
Loh si kwa majidai haya😂😂😂 ?Gari gani uwapo barabarani kila kitu kinaku-overtake hadi guta; yaani unaoweza kuwa-overtake wewe ni waenda kwa miguu tu! Gari nzito kama unaendesha semi ebo? Ukiwa na safari za Mkoa huendeshi la sivyo uwe unapoza kila Mkoa unalala!
kusema ukweli unapaswa uwe na Gari pamoja na kubana mafuta angalau ikufae kwa safari! angalau MTU uwe na Gari kuanzia CC 1200 hadi CC 1800 itakufaa sana kuliko hivyo vi kirikuu vya cc 650 vya housemaid kwenda gengeni
Kila kitu ndo nini. hadi body unabadilsha
MANENO MENGI SIAJABU HATA BAISKELI HUNA.Mawazo ya kimaskini yqliyohalalishwa na kuwataka wengine wafanye hivyo pia. Ninavyojua hiyo siyo gari ni mkokoteni wa kwendea sokoni. Hiyo hata Chalinze tu itafika imechemsha na wa huwezi tembea nayo kwa speed ya 80/kph ikabaki salama. Gari yeyote ile nzuri angalau inaanzia CC1500+ lakini gari halisi zinaanzia CC2000.
Gari imetengenezwa ili inywe mafuta, kama unamawazo ya kusave mafuta ujue hijafilia level ya gari unalazimisha tu rudi kwenye pikipiki.
Shida unaongea kwenda hata kwa baiskeli unaweza kwenda Geita na Mwanza. Mimi sina gari ee hata baiskeli lakini siwezi kununua Terios Kid labda doli la kuchezea mtoto.MANENO MENGI SIAJABU HATA BAISKELI HUNA.
ETI GARI IANZIE 2000CC, MIMI NILIKUWA NA CARINA TI TENA NAMBA B, 1500CC NILIKUWA NAENDA MWANZA, GEITA N.K KUTOKA DAR.
MLETA MADAXAMEZUNGUMZIA MIZUNGUKO YA HAPA MJINI SIO SAFARI NDEFU.
DHARA NA UJUAJI WANA-JF TUACHE.