Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,713
- 21,067
Namuona nanilii anatwanga tu bia,na vimwana warembo kweli,wala haoni kuna ugumu wa maisha,naona ndio karata yangu iliyobakia ili nami nifaidi keki ya taifa kama wengine,yaani kuongea na kutoa slogan "NASHIBA NA KUNYWA.
Upande wa nyimbo naona wengi wamesha kaba huu upande wa kina nanilii nikiongezeka sioni ubaya kabisa.
Tena naanza mapema:-
"TUNAKUOMBA TUNDU LISSU MARA URUDIPO UWE MZALENDO KWA TAIFA LAKO,ILI TUWE NA TANZANIA YENYE UMOJA TENA UMOJA WA KITAIFA"
Upande wa nyimbo naona wengi wamesha kaba huu upande wa kina nanilii nikiongezeka sioni ubaya kabisa.
Tena naanza mapema:-
"TUNAKUOMBA TUNDU LISSU MARA URUDIPO UWE MZALENDO KWA TAIFA LAKO,ILI TUWE NA TANZANIA YENYE UMOJA TENA UMOJA WA KITAIFA"