Natamani ndoto yangu itimie?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,920
Reaction score
3,753
Nimeota jana ndoto Tanzania wameshinda Afcon.

Mechi hiyo ya fainali ilikuwa Morocco vs Tanzania. Tanzania walinyakua ubingwaa baada ya kuifunga Morocco 3-1.

Nataman hii ndoto itimie mwaka ujao.

Jamani Tanzania itambulike kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…