chameleon
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 555
- 170
Wanajf wenzangu naomba ushauri wenu muhimu ili wasijesema nimeuingia mji kwa pupa. Binafsi nimepata mkopo wa Tsh milioni 10 toka kwa mfadhili wangu. Utafiti wa haraka haraka nilioufanya nabaini kuwa kwa pesa hiyo naweza kumiliki pikipiki za Mchina 6 ingawa nitaonekana lofa lakini nitaajiri malofa wenzangu 6 na sitatozwa kodi au ninuegari saloon 1(used) nikaheshimika na serikali ambayo itanitoza ada (tax cab), road licence pamoja na kodi yamapato.
Naombeni ushauri tafadhali.
Naombeni ushauri tafadhali.