KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,886
Nifuate.....
Ukweli ni kwamba hao wanaopamba hayo magazeti utajiri wao sio wa halali.Ni ukwepaji kodi,Magendo,rushwa na uharamia ndio vyanzo vya utajiri.Hauna tajiri tanzania ambaye labda alianza kuuga kuku,Akawa na soko kubwa,akaanza kuzalisha chakula cha kuku wake,labda aanzisha kiwanda cha kusindika kuku au kutengeneza madawa ya kuku n.k. na kupitia miradi hiyo akapata mafanikio wabia wakajitokeza.hakuna wenye historia hiyo.
Nikufuate wapi mkuu....
huwezi kufikiri vile vile then ukawa tofauti.
CHANGE THE WAY YOU THINK.
THINK BIG.
Nimekuambia nifuate.,,