ilo ndo tatizo la kujilazimisha kuishi na mtu sababu ya mtoto au ujauzito, mbele ya Safari ni lazima uchemke sababu utashindwa kuvumilia mapungufu ya apa na pale, kama unahisi kutamani kuwa mwenyewe ni bora ukaamua mapema ukiwa tayari ushaandaa mazingira ya matunzo kwa mama na mtoto