Kama ulikuwa na uhusiano na mwanamke kwa lengo la kuzaa naye watoto,lkn Mwaka unakatika huoni hata dalili ya ujauzito na umegundua kuwa alitoa ujauzito wa mwanaume mwingine kabla hujaanza naye wewe utafanyaje na wewe uko fiti?
Mmmh kachekini nyote huwezi jua kama uko fit mpaka muonane na Daktari, mwenzio alitoa so yuko fit lakini pia yawezekana kama atakuwa ameharibu uzazi wake kama ametumia njia sio sahihi.
Wewe ndio matatizo makubwa...ikiwa huna hata wa kusingiziwa!
Kama ulikuwa na uhusiano na mwanamke kwa lengo la kuzaa naye watoto,lkn Mwaka unakatika huoni hata dalili ya ujauzito na umegundua kuwa alitoa ujauzito wa mwanaume mwingine kabla hujaanza naye wewe utafanyaje na wewe uko fiti?