Nataka Mark X ya kununua

mkuu haya madude yana bei sijawahi kuona yamepungua 15m labda vumilia sana unaweza kupata mtu aliyefilisika

Hajasema anataka Mpya anataka kununua kwa Mtu Mna Mpya ni Mil 15 ina maana iliyotumika itakuwa less than hapo
 
Usipoteze muda.
Hata huku Zanzibar ambapo bei ni rahisi ya zamani hupati kwa bei hiyo.
Zichange kwanza,halafu ujue kubaki nahela ya Reseve,ikiharibika hii huwa hakuna msalie.Kama ni hela za kuungaunga itakutia umaskini vile vile
 
Leta 12M upate nyenye plate No C.
Bado ipo kwenye Fomu.
 
Yeyey kasema ana M 8 nyinyi mnataka aongeze, au hamjamuelewa?
 
Mkuu njoo nikupe verrosa namba c ipo vizuri sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…