Waulize hao marafiki unaotarajia kufikia kwaoHabari za mchana wana JF?
Mimi nina mpango wa kusafiri kwenda Ecuador for a visit (well, opportunity seeking kind of). Sasa nimeona kwamba nikiwa na Passport ya Tanzania naweza kwenda Ecuador bila visa for up to 3 months!
Ila sasa swali langu ni kwamba do i need extra proofs wakati wa kusafiri? Kuhusu ninakoelekea nina marafiki zangu ambao ni Ecuadorians na wanaweza kuni- accommodate kwa kipindi chote nitakachokuwa huko! Pia hawa marafiki zangu I have met them in person maana nimefanya nao kazi United Kingdom for more than eight months! Kuhusu flight ticket I can book a return ticket as long as kama itahitajika proof ya mimi kurudi home! Sasa sijui kama hapo Airport watahitaji cha ziada wakati wa mimi kusafiri au passport na flight ticket zinatosha and I'm good to go?
Kama kuna mtu mwenye experience ya hizi visa free countries I'll greatly appreciate msaada wake! Natanguliza shukrani!
Regards
Kama huhitaji visa hao marafiki wala huwahitaji just buy your ticket online, na fanya booking ya hotel online pia,hao watu wa dar hapo Airport wala haiwahusu,na wala huhitaji kusema kama una marafiki, wewe sema unaenda kutembea.Habari za mchana wana JF?
Mimi nina mpango wa kusafiri kwenda Ecuador for a visit (well, opportunity seeking kind of). Sasa nimeona kwamba nikiwa na Passport ya Tanzania naweza kwenda Ecuador bila visa for up to 3 months!
Ila sasa swali langu ni kwamba do i need extra proofs wakati wa kusafiri? Kuhusu ninakoelekea nina marafiki zangu ambao ni Ecuadorians na wanaweza kuni- accommodate kwa kipindi chote nitakachokuwa huko! Pia hawa marafiki zangu I have met them in person maana nimefanya nao kazi United Kingdom for more than eight months! Kuhusu flight ticket I can book a return ticket as long as kama itahitajika proof ya mimi kurudi home! Sasa sijui kama hapo Airport watahitaji cha ziada wakati wa mimi kusafiri au passport na flight ticket zinatosha and I'm good to go?
Kama kuna mtu mwenye experience ya hizi visa free countries I'll greatly appreciate msaada wake! Natanguliza shukrani!
Regards
Thanks sana mkuu! Hii imenifungua macho kwa kiasi kikubwaKama huhitaji visa hao marafiki wala huwahitaji just buy your ticket online, na fanya booking ya hotel online pia,hao watu wa dar hapo Airport wala haiwahusu,na wala huhitaji kusema kama una marafiki, wewe sema unaenda kutembea.
Huhitaji kuomba visa passport yako itagogwa muhuli wa visa on arrival,kawaida inakuwa three months. Kama nchi za Europe schengen hawagongi kabisa,wewe unapasua tu.Swali ni hili
Kama kuna mtu mwenye experience ya hizi visa free countries I'll greatly appreciate msaada wake! Natanguliza shukrani!
Schengen ? Ni visa on arrivalHuhitaji kuomba visa passport yako itagogwa muhuli wa visa on arrival,kawaida inakuwa three months. Kama nchi za Europe schengen hawagongi kabisa,wewe unapasua tu.
Mhhh angalia vizuri niliomjibu amenielewa..sio kila kitu kutaka kubishana??Schengen ? Ni visa on arrival