Nataka kuzaa nawewe

Nataka kuzaa nawewe

kabiriga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,213
Nimekuwa naonana nae kwenye mizunguko yangu hapa na pale,na kila nikikutana nae hapendi kunisalimia kwambali atasogea napengine tutapeana mikono na kuulizana nambo mawili matatu na ata akiwa ng'ambo ya barabara atanisihi nisubiri avuke ilimradi tumesalimiana kwa karibu.Juzi wakati nipo kwenye foleni ktk benki moja mjini kwetu nilimkuta pia akiwa mbele yangu kama mtu wa tano hivi alipogeuka na kuniona akatoka kule alikokuwa na kurudi nyuma nilikokuwa pamoja na kusalimiana aliniambia kuwa akitoka atanisubiri nje anamazungungumuzo nami.tulipotoka tulisogea kama hatua miambili hivi ,akaaza kwa kuniomba samahani kwa kuchelewesha muda wangu kisha sikukudhani kama angalisema haya."unajua kaka nakupenda na nimelazimika kukwambia ukweli kwani nimeona nateseka kila nikikuona".nilipigwa na butwaa kisha nikamwambia kuwa mimi nina mchumba haiwezekani nikaanzisha mahusiano nae kwa sasa.ndipo akasema haidhuru "naomba basi nizae nawewe".sikuwa namajibu ya haraka ndipo nilipomwambia kuwa haiwezekani bado aliendelea kusisitiza nifikilie vizuri kisha nimpe jibu.Waungwana naomba ushahuri wenu.
 
Huyo ni mjanja anataka ukimpa mimba atatumia hiyo sababu mpaka utamuoa
 
uyo anajaribu kukuweka karibu ukizaa nae kosa atafanya kila njia uachane na mchumba wako nakushauri kaa na mchumba wako kama unampenda kwa dhati
 
Ushauri wa nini wakati tayari ushamuambia kuwa haiwezekani na sababu ya msingi unayo kwamba una mchumba, au unamtaka na unataka watu wakupe ''go ahead'' ujihalalishie uzinzi. Mungu anakupenda kijana ndo maana akakupa uwezo wa kukataa pale pale, huwezi kujua Mungu kakuepusha na jambo gani. Achana nae huyo mwanamke.
 
Wewe inaelekea tayari kamzizi ka tamaa kamekuingia ndio maana unatafuta ushauri humu ndani. Kama kweli una mchumba basi inabidi ufute hiyo tamaa ya uzinzi. Lakini siku hizi vijana wamerahisisha neno mchumba, hata rafiki tu ambaye anazini naye wala hatambuliwi na upande wowote za familia hawachelei kusema mchumba wangu. Kama huna mchumba bali una rafiki tu, unaweza kupima mwenyewe yupi takufaa zaidi kuwa mke wako. Usiendekeze tamaa za kuzaa nje ya ndoa, Mungu hapendi na malezi ya watoto wa aina hiyo mara nyingi huwa yanasuasua sana. Mtoto anakosa malezi na upendo wa Baba na Mama ambayo ni muhimu sana kwake.
 
Duh...!
Labda kama utampa mbegu kwenye kichupa, la sivyo ukilala naye tu tayari usaliti kwa bibie wako. Pamoja na hayo mtoto atakayezaliwa ni wako..kwa namna iwayo yote lazima utawajibika kwa huyo mtoto.

Halafu ukiishi kwa kumridhisha kila mtu ndugu yangu utaumia. Be firm, stand on your own feet.
 
Lol! Ntapata wapi zali la mentali kama hili?
nimekuwa naonana nae kwenye mizunguko yangu hapa na pale,na kila nikikutana nae hapendi kunisalimia kwambali atasogea napengine tutapeana mikono na kuulizana nambo mawili matatu na ata akiwa ng'ambo ya barabara atanisihi nisubiri avuke ilimradi tumesalimiana kwa karibu.juzi wakati nipo kwenye foleni ktk benki moja mjini kwetu nilimkuta pia akiwa mbele yangu kama mtu wa tano hivi alipogeuka na kuniona akatoka kule alikokuwa na kurudi nyuma nilikokuwa pamoja na kusalimiana aliniambia kuwa akitoka atanisubiri nje anamazungungumuzo nami.tulipotoka tulisogea kama hatua miambili hivi ,akaaza kwa kuniomba samahani kwa kuchelewesha muda wangu kisha sikukudhani kama angalisema haya."unajua kaka nakupenda na nimelazimika kukwambia ukweli kwani nimeona nateseka kila nikikuona".nilipigwa na butwaa kisha nikamwambia kuwa mimi nina mchumba haiwezekani nikaanzisha mahusiano nae kwa sasa.ndipo akasema haidhuru "naomba basi nizae nawewe".sikuwa namajibu ya haraka ndipo nilipomwambia kuwa haiwezekani bado aliendelea kusisitiza nifikilie vizuri kisha nimpe jibu.waungwana naomba ushahuri wenu.
 
chumisha mboga huyo! inabd uwe na wawili,akizngua mmoja mwingne anareplace.
 
Duh...!
Labda kama utampa mbegu kwenye kichupa, la sivyo ukilala naye tu tayari usaliti kwa bibie wako. Pamoja na hayo mtoto atakayezaliwa ni wako..kwa namna iwayo yote lazima utawajibika kwa huyo mtoto.

Halafu ukiishi kwa kumridhisha kila mtu ndugu yangu utaumia. Be firm, stand on your own feet.

Bora umempa ukweli.
 
Si unamchumba ww? Ushauri wa nini sasa?

safi sana. This is called wit.
Watu wachache sana wana hii kitu. Kwa haraka haraka ni wewe na Mugabe ndo nnaowajua kwa sasa.
Sasa sijui kama na wewe umekaa madarakani hapo ulipo mda mrefu sana kama Mugabe au....Tehe tehe tehe....
 
Nimekuwa naonana nae kwenye mizunguko yangu hapa na pale,na kila nikikutana nae hapendi kunisalimia kwambali atasogea napengine tutapeana mikono na kuulizana nambo mawili matatu na ata akiwa ng'ambo ya barabara atanisihi nisubiri avuke ilimradi tumesalimiana kwa karibu.Juzi wakati nipo kwenye foleni ktk benki moja mjini kwetu nilimkuta pia akiwa mbele yangu kama mtu wa tano hivi alipogeuka na kuniona akatoka kule alikokuwa na kurudi nyuma nilikokuwa pamoja na kusalimiana aliniambia kuwa akitoka atanisubiri nje anamazungungumuzo nami.tulipotoka tulisogea kama hatua miambili hivi ,akaaza kwa kuniomba samahani kwa kuchelewesha muda wangu kisha sikukudhani kama angalisema haya."unajua kaka nakupenda na nimelazimika kukwambia ukweli kwani nimeona nateseka kila nikikuona".nilipigwa na butwaa kisha nikamwambia kuwa mimi nina mchumba haiwezekani nikaanzisha mahusiano nae kwa sasa.ndipo akasema haidhuru "naomba basi nizae nawewe".sikuwa namajibu ya haraka ndipo nilipomwambia kuwa haiwezekani bado aliendelea kusisitiza nifikilie vizuri kisha nimpe jibu.Waungwana naomba ushahuri wenu.

Sio kila kitakacho kutokea ulete humu JF. Mbona mengine yana Solution tu na umeisha maliza kwa kumwambia una mchumba. Wewe sema tu umemind sasa wataka watu humu wakushauri sijui nini. Basi kama vipi zaa nae usiogope uone.
 
Nimekuwa naonana nae kwenye mizunguko yangu hapa na pale,na kila nikikutana nae hapendi kunisalimia kwambali atasogea napengine tutapeana mikono na kuulizana nambo mawili matatu na ata akiwa ng'ambo ya barabara atanisihi nisubiri avuke ilimradi tumesalimiana kwa karibu.Juzi wakati nipo kwenye foleni ktk benki moja mjini kwetu nilimkuta pia akiwa mbele yangu kama mtu wa tano hivi alipogeuka na kuniona akatoka kule alikokuwa na kurudi nyuma nilikokuwa pamoja na kusalimiana aliniambia kuwa akitoka atanisubiri nje anamazungungumuzo nami.tulipotoka tulisogea kama hatua miambili hivi ,akaaza kwa kuniomba samahani kwa kuchelewesha muda wangu kisha sikukudhani kama angalisema haya."unajua kaka nakupenda na nimelazimika kukwambia ukweli kwani nimeona nateseka kila nikikuona".nilipigwa na butwaa kisha nikamwambia kuwa mimi nina mchumba haiwezekani nikaanzisha mahusiano nae kwa sasa.ndipo akasema haidhuru "naomba basi nizae nawewe".sikuwa namajibu ya haraka ndipo nilipomwambia kuwa haiwezekani bado aliendelea kusisitiza nifikilie vizuri kisha nimpe jibu.Waungwana naomba ushahuri wenu.

Majibu unayo ndugu usipende kusumbua wana JF
 
Nimekuwa naonana nae kwenye mizunguko yangu hapa na pale,na kila nikikutana nae hapendi kunisalimia kwambali atasogea napengine tutapeana mikono na kuulizana nambo mawili matatu na ata akiwa ng'ambo ya barabara atanisihi nisubiri avuke ilimradi tumesalimiana kwa karibu.Juzi wakati nipo kwenye foleni ktk benki moja mjini kwetu nilimkuta pia akiwa mbele yangu kama mtu wa tano hivi alipogeuka na kuniona akatoka kule alikokuwa na kurudi nyuma nilikokuwa pamoja na kusalimiana aliniambia kuwa akitoka atanisubiri nje anamazungungumuzo nami.tulipotoka tulisogea kama hatua miambili hivi ,akaaza kwa kuniomba samahani kwa kuchelewesha muda wangu kisha sikukudhani kama angalisema haya."unajua kaka nakupenda na nimelazimika kukwambia ukweli kwani nimeona nateseka kila nikikuona".nilipigwa na butwaa kisha nikamwambia kuwa mimi nina mchumba haiwezekani nikaanzisha mahusiano nae kwa sasa.ndipo akasema haidhuru "naomba basi nizae nawewe".sikuwa namajibu ya haraka ndipo nilipomwambia kuwa haiwezekani bado aliendelea kusisitiza nifikilie vizuri kisha nimpe jibu.Waungwana naomba ushahuri wenu.

ndugu yangu, huwezi kujaribu ladha ya sumu kwa kuionja mweeh.
 
Back
Top Bottom