Nataka kuwa model

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Wazazi wanataka nisome, sipendi kusoma sipendi kuamka asubuhi sipendi kwenda shule nifanye nini ili niwe model.
 
Mtafute Ally Rwetulah akufuninde Nini ufanye uwe model, but mostly jitahidi uwe kikelization.
 
Dogo kwa umri wako iyo nanii yako either itaota manundu au itapasuka kabisa. Utagawa hadi ijute kukufahamu...
 
yan inaonyesha ni jinsi gani unavyo ichukia ngenya yako
 
wazaz wanataka nsome. sipend kusoma sipend kuamka asubui sipend kwenda shule nfany nn ili niwe model
Lala mwezi mzima bila kuamka....siku utakayo amka tayari utakua model

...wew ulimwengu huu wa sayans na tech...unakataa shule.. mama eeeee
 
Mtafute Miriam wa Odemba akupe ushauri
 
Kwanza una miaka mingapi?nani alikudanganya kwamba usiposoma hautatimiza ndoto zako za kuwa model?na jaribu kufuatilia mamodel wakubwa duniani na wenye mafanikio wana elimu zao kubwa tu lakini wanapenda midelling ,acha utoto nenda shule kwanza uongeze upeo
 
Itaoteshwa sugu hadi ngozi yake ifanane na hiyo ya gotini shauri yako, wee haya endelea kutopenda shule, usisahau mrejesho siku za usoni
 
Si ndo ww unalalamika wanaume wa tz hatujui kutongoza...?
sina haja ya kukukata tamaa nenda but jichunge..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…