Hivi ni mda gan m2 anatakiwa awe tayari wachumba wanatakiwa waoane.
Haijakaa mkao kabisahii mada ina walakini mwingi,hebu iweke vizuri maana nahisi kuna mkato somewhere au unaendeleza maelezo,kifupi haieleweki.
Mmmmm...sijakuelewa!!Hivi ni mda gan wachumba wanatakiwa waoane.