reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
habarini wapendwa..jamani mimi naipenda sn hii gari na napenda niinunue ila tatizo siijui kiundani matatizo yake pamoja na ulaji wa mafuta.kwa wanaoifahamu naombeni ushauri pamoja na bei zake
Ungetusaidia kidogo kwa kueleza hata mwaka wa gari kuliko hivi inakuwa too general maana matoleo tofauti yanasifa tofauti pia.habarini wapendwa..jamani mimi naipenda sn hii gari na napenda niinunue ila tatizo siijui kiundani matatizo yake pamoja na ulaji wa mafuta.kwa wanaoifahamu naombeni ushauri pamoja na bei zake