Nataka kununua gari

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
80
Reaction score
240
Wakuu poleni na majukumu. Hapa nilipo najiona muda sio mrefu kuanzia saivi hadi miaka mitano ijayo nitaanza kumiliki fedha zingi yaani vibunda vya kutosha.

Naombeni ushauri gari gani la kuanza nalo kutafuta uzoefu wa road kati ya CROWN ATHLETES au SUBARU FORESTER XT.
 
Mi nakupa alfad kwa bei ya noah๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Baada ya maika mitano ndio uwaze kununua gari, ukisahakuwa na vibunda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ