Najibu tu kwa niaba, anataka achaguliwe na wapiga KULA sio kura. Yeye ataandaa wali maharage kwa kila mpiga kura ili yeye awape kula ya siku moja mchana tu nao wampe kura ya ushindi wa miaka 5.
This guy must be a ccm member. Inanukia kabisa kisiisiieeym. Lakini, namtahadharisha mapema, this time wapiga kura wameamka, hawataki tshirt, khanga za sanamu wala kofia kutoka China waliopelekewa meno ya tembo. Hawataki pilau za nyama ya tembo mliochukua meno yake, wala kupakiwa kwenye fuso. CCM mpooo??