Nataka kufungua kiwanda changu

Agenda1

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
1,692
Reaction score
3,420
Habari wakuu,

Nimepeleza cherehani moja kwa ajili ya kukamilisha kiwanda changu kipya ninachotarajia kufungua hv karibuni. hii ni ktk kuunga mkono juhudi na kutoa ajira kwa vijana.

Hivyo basi mwenye cherehani used naomba aniuzie na bei itakuwa ni maelewano. Njoo kwa pm kama unayo. Ahsanteni.
 
Kiwanda gani gani unaanzisha na cherahani used
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…