Nataka kuanzisha kampuni - ushauri wenu tafadhari

Nataka kuanzisha kampuni - ushauri wenu tafadhari

Joined
Jul 25, 2012
Posts
29
Reaction score
2
Wakuu,

Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya udalali hasa wa nyumba, viwanja, magari na electronics zingine.

Nahitaji kujuwa:
1. Ni shilingi ngapi zinahitajika ili kusajili kampuni ya namna hii?
2. Ni vitu gani natakiwa kuwa navyo ili niweze kupata usajili wa kampuni?
3. Moja ya kazi itakayojihusisha nayo kampuni hii ni kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa za wengine na kutafuta bidhaa popote zilipo duniani kwa bei nafuu kwa ajili ya anayetaka kununua bidhaa husika lakini katika kununua bidhaa hizo huko zilipo kwa bei nafuu tutahitaji kutumia pesa ya mhitaji/anayetaka kuinunua hiyo bidhaa, Je tutafanya nini mpaka mhitaji aweze kutuamini na kutoa pesa ili sisi tununue kwa niaba yake?.

Vitu ninavyoweza kumudu mpaka sasa ni:
1. Ofisi
2. Website

Pia nitahitaji wadau wengine 2 wa kushirikiana nao.

Nawasilisha
 
Kwanza kabisa kampuni yako unataka kuifungulia mkoa gani ?? Nina idea kama zako nataka tuunganishe nguvu .
 
Visitatanzania,

Mkuu sijui kiasi rasmi cha usajili wa kampuni kama hiyo lakini ninachojua kiasi cha kusajili kampuni it depend on kiasi cha mtaji wa kuanzishia kampuni,ila kwa kuwa hiyo ni kampuni ya udalali inamaana itakuwa na objective moja tu ya brokerage namini mtaji wake sio mkubwa na hata usajili wake utagharimu kiasi cha kawaida.

Vitu muhimu vya kuwanavyo mpaka upate usajili nafikiri try to navigate to brela website wamehainisha procedure,terms & conditions za kusajili kampuni.

Kuhusu uwaminifu ilo linawezekana kama utakuwa umesajiliwa na una insurance lazima wateja wakuamini maana mtafanya kazi kimkataba au kimaandishi zaidi.

Mwisho labda kama hutambui hiyo ni brokerage firm ambayo unaweza kuanza kuifanya sasa hata kama bado ujapata office as longer as upo tayari kutembea na kucheza na websites. Mimi naifanya locally nikiwa home naweza kukuelekeza jinsi ya kutafuta properties za kuuza.
 
Nitakutafuta mkuu kwa maelezo zaidi.


mkuu sijui kiasi rasmi cha usajili wa kampuni kama hiyo lakini ninachojua kiasi cha kusajili kampuni it depend on kiasi cha mtaji wa kuanzishia kampuni,ila kwa kuwa hiyo ni kampuni ya udalali inamaana itakuwa na objective moja tu ya brokerage namini mtaji wake sio mkubwa na hata usajili wake utagharimu kiasi cha kawaida.
Vitu muhimu vya kuwanavyo mpaka upate usajili nafikiri try to navigate to brela website wamehainisha procedure,terms & conditions za kusajili kampuni.
kuhusu uwaminifu ilo linawezekana kama utakuwa umesajiliwa na una insurance lazima wateja wakuamini maana mtafanya kazi kimkataba au kimaandishi zaidi.
mwisho labda kama hutambui hiyo ni brokerage firm ambayo unaweza kuanza kuifanya sasa hata kama bado ujapata office as longer as upo tayari kutembea na kucheza na websites.mi naifanya locally nikiwa home naweza kukuelekeza jinsi ya kutafuta properties za kuuza.
 
Kampuni ya mtaji wa 10 mil kusajili ni Tsh 242,500 kama vitabu (memorundum and articles of association vikiwa vitatu), gharama ya mtaji wa juu zaidi ni 345,000,chini ya hizo gharama pia itategemeana na jinsi mtaji wako utapozidi kua mdogo,ila kwa uzoefu wangu kampuni ya 10ml itakufaa
 
Gharama zingine itategemea kama utatumia madalali au utaenda kusotea mwenyewe Brela.
 
mkuu sijui kiasi rasmi cha usajili wa kampuni kama hiyo lakini ninachojua kiasi cha kusajili kampuni it depend on kiasi cha mtaji wa kuanzishia kampuni,ila kwa kuwa hiyo ni kampuni ya udalali inamaana itakuwa na objective moja tu ya brokerage namini mtaji wake sio mkubwa na hata usajili wake utagharimu kiasi cha kawaida.
Vitu muhimu vya kuwanavyo mpaka upate usajili nafikiri try to navigate to brela website wamehainisha procedure,terms & conditions za kusajili kampuni.

kuhusu uwaminifu ilo linawezekana kama utakuwa umesajiliwa na una insurance lazima wateja wakuamini maana mtafanya kazi kimkataba au kimaandishi zaidi.

mwisho labda kama hutambui hiyo ni brokerage firm ambayo unaweza kuanza kuifanya sasa hata kama bado ujapata office as longer as upo tayari kutembea na kucheza na websites.mi naifanya locally nikiwa home naweza kukuelekeza jinsi ya kutafuta properties za kuuza.
Mimi nipo interested na hii business naomba nikucheki pm mkuu..kwa maelekezo zaidi..mim nimeipenda hiyo idea ya kufanya kazi virtually ingawa kutembea nako sina tatizo nako..niko njian kuweka hewani website
 
Wakuu,


Nichek 0747200286 or nielekeze jinsi ya kuingia inbox

Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya udalali hasa wa nyumba, viwanja, magari na electronics zingine.

Nahitaji kujuwa:
1. Ni shilingi ngapi zinahitajika ili kusajili kampuni ya namna hii?
2. Ni vitu gani natakiwa kuwa navyo ili niweze kupata usajili wa kampuni?
3. Moja ya kazi itakayojihusisha nayo kampuni hii ni kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa za wengine na kutafuta bidhaa popote zilipo duniani kwa bei nafuu kwa ajili ya anayetaka kununua bidhaa husika lakini katika kununua bidhaa hizo huko zilipo kwa bei nafuu tutahitaji kutumia pesa ya mhitaji/anayetaka kuinunua hiyo bidhaa, Je tutafanya nini mpaka mhitaji aweze kutuamini na kutoa pesa ili sisi tununue kwa niaba yake?.

Vitu ninavyoweza kumudu mpaka sasa ni:
1. Ofisi
2. Website

Pia nitahitaji wadau wengine 2 wa kushirikiana nao.

Nawasilisha
 
Wakuu,

Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya udalali hasa wa nyumba, viwanja, magari na electronics zingine.

Nahitaji kujuwa:
1. Ni shilingi ngapi zinahitajika ili kusajili kampuni ya namna hii?
2. Ni vitu gani natakiwa kuwa navyo ili niweze kupata usajili wa kampuni?
3. Moja ya kazi itakayojihusisha nayo kampuni hii ni kutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa za wengine na kutafuta bidhaa popote zilipo duniani kwa bei nafuu kwa ajili ya anayetaka kununua bidhaa husika lakini katika kununua bidhaa hizo huko zilipo kwa bei nafuu tutahitaji kutumia pesa ya mhitaji/anayetaka kuinunua hiyo bidhaa, Je tutafanya nini mpaka mhitaji aweze kutuamini na kutoa pesa ili sisi tununue kwa niaba yake?.

Vitu ninavyoweza kumudu mpaka sasa ni:
1. Ofisi
2. Website

Pia nitahitaji wadau wengine 2 wa kushirikiana nao.

Nawasilisha

Me niko na ideas mbili ambazo zote nimeshindwa kuzifanyia kazi nakila nilipo jalibu kutafuta kampuni kote nimegonga mwamba "**" but bro 2megongana mawazo pande zote ingawa me niko tofauti kidogo na wewe*"** remember pesa ya nje ya nchi ina thamani kubwa kuliko pesa ya Tz ,so kama upo tayar nitumie sms 0747200286 nikupe maujuzi
 
Back
Top Bottom