Rizzy2020
Member
- Jul 22, 2021
- 22
- 20
Nina miezi 4 sasa toka ninenda Gym mazoezi nafanya ila tatizo limekua kubwa kuhusu kutakwa na gays
Sehemu nyingi unakuta mtu ana heshima zake ni gym trainer lakini anataka dushee na wengi ni hao hao unakua na gym mazoezi wanakutaka uwapumulie kisogoni
Kama sasa hivi nimeshabadilisha kama gym 5 na zaidi kwasababu ya haya mambo
Najitaidi kuepuka lakini naona linanizidi maarifa
Nilikua naweka picha mtandaoni nikawa nikipost tu huko messenger kunakua na balaa unakuta meseji nyingi wanakutaka wanaume wenzako
Nikafuta picha zote mtandaoni bado natatizika sana.Kwanini gym wanaopiga wanapumuliwa?Mimi na gym naamini mwanaume ni ukakamavu sasa kwanini ikawe hivyo tena wengine ni mabondia na gym trainer kabisa
Kwanini hali inakua hivi nawaza nisiende gym tena mimi kufanya hicho kitendo nakiogopa sana tena kumfanyia hata mwanamke siwezi sasa mwanaume mwenzangu ndo nitaweza?
Sehemu nyingi unakuta mtu ana heshima zake ni gym trainer lakini anataka dushee na wengi ni hao hao unakua na gym mazoezi wanakutaka uwapumulie kisogoni
Kama sasa hivi nimeshabadilisha kama gym 5 na zaidi kwasababu ya haya mambo
Najitaidi kuepuka lakini naona linanizidi maarifa
Nilikua naweka picha mtandaoni nikawa nikipost tu huko messenger kunakua na balaa unakuta meseji nyingi wanakutaka wanaume wenzako
Nikafuta picha zote mtandaoni bado natatizika sana.Kwanini gym wanaopiga wanapumuliwa?Mimi na gym naamini mwanaume ni ukakamavu sasa kwanini ikawe hivyo tena wengine ni mabondia na gym trainer kabisa
Kwanini hali inakua hivi nawaza nisiende gym tena mimi kufanya hicho kitendo nakiogopa sana tena kumfanyia hata mwanamke siwezi sasa mwanaume mwenzangu ndo nitaweza?