Natafuta wafanyakazi

Natafuta wafanyakazi

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Natafuta watu Hawa

Mtu ambaye ana uzoefu na kutengeneza plan za biashara

Mtu ambaye ana uzoefu na uuzaji wa biashara

Na mtu ambaye ana uzoefu na usimamizi wa biashara

I am serious

Nina tafuta watu Hawa ili nifanye nao kazi
 
Hujaandika biashara yako ni Nini? Unadhani mtu mwenye uzoefu wa kuuza na kusimamia Spare parts za magari anaweza kuwa na experience ya kuuza duka la nafaka kwa haraka?

Hujaeleza biashara yako iko wapi. Mkoa, wilaya Hadi kata ipi!

Toa maelezo zaidi Upate watu sahihi otherwise utapata watu na baadae utakuja kulialia humu
 
Hujaandika biashara yako ni Nini? Unadhani mtu mwenye uzoefu wa kuuza na kusimamia Spare parts za magari anaweza kuwa na experience ya kuuza duka la nafaka kwa haraka?

Hujaeleza biashara yako iko wapi. Mkoa , wilaya Hadi kata ipi!

Toa maelezo zaidi Upate watu sahihi otherwise utapata watu na baadae utakuja kulialia humu

Ni hivi mimi nina mtaji bali i don’t have plan za biashara ndo maana nataka kushirikiana na watu ambao wana uzoefu wa biashara
Wenyewe wanisaidie ku plan kulingana na mtaji wangu
 
Ni hivi mimi nina mtaji bali i don’t have plan za biashara ndo maana nataka kushirikiana na watu ambao wana uzoefu wa biashara
Wenyewe wanisaidie ku plan kulingana na mtaji wangu
Ok mkuu
 
Mkuu location yako tafadhali watu tuna idea za kukutoa kimaisha kabisa taja location ili nijipime
 
mkuu kama una dhamira ya kweli basi ni vyema ukatoa taarifa kamili ikiwa ni pamoja na mawasiliano na taarifa za msingi kuwezesha watu kufanya kweli
 
Natafuta watu Hawa

Mtu ambaye ana uzoefu na kutengeneza plan za biashara

Mtu ambaye ana uzoefu na uuzaji wa biashara

Na mtu ambaye ana uzoefu na usimamizi wa biashara

I am serious

Nina tafuta watu Hawa ili nifanye nao kazi
Njoo dm tuyajenge
 
Natafuta watu Hawa

Mtu ambaye ana uzoefu na kutengeneza plan za biashara

Mtu ambaye ana uzoefu na uuzaji wa biashara

Na mtu ambaye ana uzoefu na usimamizi wa biashara

I am serious

Nina tafuta watu Hawa ili nifanye nao kazi
Kuna mwaka fulani, nilikuwa kijij fulani mkoani Mwanza.

Alikuja jamaa pale kijijini ambaye hakufahamika anatokea wapi. Akajenga urafiki na familia moja. Alikaa kama siku tatu hivi akidai kuna mambo anachunguza na amepita maeneo mengi mikoa ya kanda ya ziwa.

Siku chache baadaye akadai anahitaji wafanyakazi kwa ajili ya kiwanda ambacho jamaa yake anakianzisha huko Shinyanga na kwamba amewapata wenye sifa.

Akawajulisha na kuwauliza kama wako tayari. Wote walikubali.

Kisha akawaambia ameishiwa nauli wamchangie kila mtu sh. 30,000/ apeleke barua zao kwa mkurugenzi huko Dar na kwamba wajiandae tarehe fulani watahitajika kazini huko Shinyanga. Wakampa hizo hela, akaondoka na kwenda alikokwenda.
 
Kuna mwaka fulani, nilikuwa kijij fulani mkoani Mwanza.

Alikuja jamaa pale kijijini ambaye hakufahamika anatokea wapi. Akajenga urafiki na familia moja. Alikaa kama siku tatu hivi akidai kuna mambo anachunguza na amepita maeneo mengi mikoa ya kanda ya ziwa.

Siku chache baadaye akadai anahitaji wafanyakazi kwa ajili ya kiwanda ambacho jamaa yake anakianzisha huko Shinyanga na kwamba amewapata wenye sifa.

Akawajulisha na kuwauliza kama wako tayari. Wote walikubali.

Kisha akawaambia ameishiwa nauli wamchangie kila mtu sh. 30,000/ apeleke barua zao kwa mkurugenzi huko Dar na kwamba wajiandae tarehe fulani watahitajika kazini huko Shinyanga. Wakampa hizo hela, akaondoka na kwenda alikokwenda.
Wameibiwa kirahisi sana
 
Biashara ya mazao kaka.hutajuta kwa hili.nitafute tuyajenge.
 
Back
Top Bottom