Natafuta wafanyakazi

Natafuta wafanyakazi

Joyce Faby

Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
5
Reaction score
2
Ninahitaji wafanyakazi wawili,
Jinsia ni Ke,
Umri kuanzia 18 hadi 30,
Kazi ni kuwapikia chakula mafundi site,

Mshahara ni elfu 50,
Eneo ni Zanzibar.

:Malazi na chakula nitagharamia.
Mawasiliano:
0772751757

Karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom