Natafuta wachimbaji wa visima

Natafuta wachimbaji wa visima

Duly zura

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2013
Posts
411
Reaction score
37
Habarini wadau kwanza nashkuru sana juzi nilipost tangazo la kuhitaji toyota ISIS nashkuru mungu nilifanikiwa kuipata gari nzuri.
Nahitaji kuchimbiwa kisima,maji ya dawasco sometimes yanasumbua,napatikana Arusha Njiro Kwa Msola mtu yeyote anaedeal na hiyo mambo au anayewajua wanaoshuhulika na kazi hiyo anisaidie tafadhali,natanguliza shukrani you can check me kwa namba 0714478797 for more infomation,nashkuru sana
 
Habarini wadau kwanza nashkuru sana juzi nilipost tangazo la kuhitaji toyota ISIS nashkuru mungu nilifanikiwa kuipata gari nzuri.
Nahitaji kuchimbiwa kisima,maji ya dawasco sometimes yanasumbua,napatikana Arusha Njiro Kwa Msola mtu yeyote anaedeal na hiyo mambo au anayewajua wanaoshuhulika na kazi hiyo anisaidie tafadhali,natanguliza shukrani you can check me kwa namba 0714478797 for more infomation,nashkuru sana

wachek hawa https://www.jamiiforums.com/matanga...mpaka-mita-130-kwa-8m-tu.html?highlight=evigt
 
Habarini wadau kwanza nashkuru sana juzi nilipost tangazo la kuhitaji toyota ISIS nashkuru mungu nilifanikiwa kuipata gari nzuri.
Nahitaji kuchimbiwa kisima,maji ya dawasco sometimes yanasumbua,napatikana Arusha Njiro Kwa Msola mtu yeyote anaedeal na hiyo mambo au anayewajua wanaoshuhulika na kazi hiyo anisaidie tafadhali,natanguliza shukrani you can check me kwa namba 0714478797 for more infomation,nashkuru sana

Tupo mkuu kwa maswala yote ya maji kuanzia drilling,plumbing, water quality test hadi domestic water purification.

find us youtube.com/evigtinvestment
twitter@evigtinvestment
 
Tupo mkuu kwa maswala yote ya maji kuanzia drilling,plumbing, water quality test hadi domestic water purification.

find us youtube.com/evigtinvestment
twitter@evigtinvestment

nipatie contact zenu
 
Back
Top Bottom