Natafuta wa kumrithisha mikoba, kilinge

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,670
Reaction score
860,997
Ndugu wana JF huu si utani..! Niko serious..
Najiona kabisa nazeeka sasa na nguvu zinanipungua, hivyo nimekuwa na limited movements japo mahitaji bado yako juu
Nimeamua kutangaza kufafuta mrithi wa kazi zangu.
  • Mkoba mkuu mmoja
  • Mkoba wa kati
  • Mkoba mdogo
Hii mikoba yote iko Mkoa wa Pwani kilingeni Msata
Kilinge kina kila kitu cha uganga, ugaguzi, ulozi, ushirikina na kuwanga.. Kina vifaa vyote muhimu vya kale na vya kisasa kwa shughuli zote hizo..!

Ukubwa wa eneo ni miguu 50 kwa 40. Najiandaa kurudi kumtumikia mola wangu..infact nitakuwa na kituo changu cha huduma za kiroho zisizochangamana tena na shirki.

Niliwahi kuwagusia kuhusu hiki kituo kitakachojulikana kama MULT FAITH RESEARCH SOCIETY. Naona muda wa kuwa umekaribia kabisa!
Nitakuja kutoa aina ya mrithi nimtakaye!

Asanteni.
 

Mkuu au ndiyo maandalizi ya kwenda kumpiku kabisa kiongozi wa sasa wa malaika?

Hii siyo kuona mbali kweri kweri?
 
Kwa mungu hakuna kuchelewa.muda wowote yupo.
ILA isifike muda WA kukata roho hapo NI ngumu utakuwa umechelewa
Kama muda wa kukata roho huna promise nao? Kwanini unasema hutakuwa umechelewa!! Au unadhani kufa ni lazima uwe mzee?
 
Miguu 50*40 Kama Ni mita hiyo Ni sawa na mita square 2,000. Hapo msata kiwanja hicho si kitakuwa na thamani angalau 2,000,000???
Nikiuza naweza pata hiyo?
Nakuja kurithi fasta.
 
Hahahaaaa mtani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…