Natafuta vyombo vya ndani vya kununua - Dar

Natafuta vyombo vya ndani vya kununua - Dar

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Habari wakuu!

Anayeuza vyombo vya ndani kv: kitanda, godoro, vyombo vya jikoni n.k. tuwasiliane. Naomba uniPM namba yako na bei za vitu, ukinitumia picha itakuwa poa zaidi, kama huna uwezo wa picha basi ntakuja mwenyewe.

Asanteni.
 
Habari wakuu!

Anayeuza vyombo vya ndani kv: kitanda, godoro, vyombo vya jikoni n.k. tuwasiliane. Naomba uniPM namba yako na bei za vitu, ukinitumia picha itakuwa poa zaidi, kama huna uwezo wa picha basi ntakuja mwenyewe.

Asanteni.

Kwanini usiwe mvumilivu tu ukaanza na kitanda chako kipya zen vingine ukanunua taratibu, mambo ya kuuziwa vitanda na magodogoro yenye chawa na kunguni + shahawa zilizokaukia unayapenda. life taratibu utanunua kidogo kidogo, au imekaaje hii. sorry lakini ni mm tu na kichwa changu.
 
Kuna expat anaondoka siku si nyingi anauza vitu vyote vya ndani, vyombo vya jikoni alikuwa anaachia tu seti za masufuria dukani mpaka laki 8 ye ameuza elf50 tu na motisha glass, sahani na nini, catle elf10, friji kubwa lak2 na matakataka mengine, kitanda na godoro la spring hajauza ngoja nimuulize ana siku ngapi na atakiuza bei gani nitakwambia
 
Mkuu umeshapata hivyo vitu au bado? Kama bado njoo pm

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom