Natafuta ufadhili kwenye NGOs

Jembemtaji

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
1,192
Reaction score
929
Habari wadau,natafuta mtu anaejua namna ya kupata ufadhili au mfadhili wa ndani au nje ya nchi. Nina taasisi imesajiliwa kutoa elimu nje ya mfumo RASMI pamoja na mafunzo ya ufundi. Changamoto ninazopitia ni gharama za kuendesha sijawaipata ufadhili wowote. Ivo kama kuna mdau anaweza kunisaidia kutafuta wafadhili au kuandika andiko aje tuyajenge.

NB.sio lazima msaada wa vitu au pesa ata walimu wa kujitolea.
 
Taasisi ipo Dar es salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…