Mkuu tafuta mpya tuu kama utaenda kwa agent wa Lg au Sumsung utapata TV nzuri tuu ni bora ukapata 32 " Tv bora kuliko ukatumia hata 55" Tv ambayo rangi yake haipo sawa ni vile Bongo Tv ipo katika kundi la starehe ndio maana tunapata sana shida kupata Tv bora kwa fedha kidogo...
Mkuu tafuta mpya tuu kama utaenda kwa agent wa Lg au Sumsung utapata TV nzuri tuu ni bora ukapata 32 " Tv bora kuliko ukatumia hata 55" Tv ambayo rangi yake haipo sawa ni vile Bongo Tv ipo katika kundi la starehe ndio maana tunapata sana shida kupata Tv bora kwa fedha kidogo...
Nenda Game,kuna Hisense LEDTV 55'' bei ni Tzs 1.8 M ni nzuri sana hata ukitaka Smart Tv zipo ukubwa tofauti hela yako tu,Tv nzuri ni mpya used inakuwa shida