Natafuta tenda

Natafuta tenda

yusufu ismail

New Member
Joined
May 4, 2013
Posts
4
Reaction score
0
habari wana jf,nimeamua kujikita katika ajira binafsi(ujasiria mali) kama kijana ili kujikwamua kimaisha hivyo naomba msaada wana jf kupata tenda ktk hotel au baa ya kuwauzia mbuzi kwa maeneo ya dsm au kibaha,tayari nimeanza biashara hii kwa baadhi ya sehem!kwa mawasiliano zaidi 0655-655540
 
Back
Top Bottom