Natafuta temporary job..

Natafuta temporary job..

moyAfricatzz

Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
56
Reaction score
29
Mimi in mwanachuo wa Chuo Fulani pale Arusha,nasomea degree ya sheria na naingia mwaka wa pili mnamo mwezi wa kumi..natafuta kazi ya muda ya kufanya(part time) ili niweze kujiendesha...Nna uzoefu wa miaka miwili wa kufanya kazi..nina weza kufanya kazi yeyote halali..
Msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom