blessingskd
Member
- Mar 8, 2014
- 5
- 0
habarini wanajamvi, Nina Mahindi yangu nililima Morogoro na mengine nimeongezea hukuhuku kwa wakulima hivyo nimefikisha gunia 500,naomba kujua bei yake Kariakoo au mwenye shauri niuze wapi kwasababu nilikua nategemea kuyauza Kenya sasa wenye magari wanagoma wanadai kuna folen Sanaa hivyo magar yanachukua wiki nne hadi kushusha inakua hasara kwao msaada tafadhari,nawasilisha,Mimi nipo Morogoro
barikiweni
barikiweni