Thamani halisi
Member
- Aug 8, 2017
- 5
- 3
Nnatafuta soko la asali mbichi ya nyuki wakubwa.nauza sh180000/= kwa dumu la lita 20. Nina madumu 30 na bado nina uwezo wa kupata mengine kama yanahitajika. Kwa anayelifahamu soko tafadhali anicheki kwa 0752675368