Wadau mwenye smartphone kwa bei hiyo....naomba ucomment hapa na nintaPM ntakayelizika na ofa yake
Last week Tigo wamenipa hii simu Bure Kama zawadi ya mteja wa muda mrefu , iko poa sana!!Jitahidi Uongeze elf 25, kisha nenda kwenye duka lolote la Tigo utapata smart phone safi kabisa na mpya inaitwa Huawei.....Inauzwa 175,000. Inatumia Android 2.3 OS, Ni touch screen na inafanya kila kitu simu nyingine zinaweza.
Uko nao muda gani? Hongera.Last week Tigo wamenipa hii simu Bure Kama zawadi ya mteja wa muda mrefu , iko poa sana!!
nokia C5-03
Uko nao muda gani? Hongera.
NB: Battery yake haikai sana, ila Download app killer yeyote itasaidi. Mi natumia Easy Battery Saver (Intelligent Mode) Inanisave sana.
Dah, Umejitahidi kwa kweli, miaka 9 sio mchezo. Inauzwa bei ndogo kwasababu ya Brand (Huawei). Ni Jina Dogo sana kwenye soko, huwezi fananisha na Samsung, HTC, iPhone nk... Lakini kwakweli Nimeshaona Simu za Huawei nzuri sana na Durable...Toka 2004 nafikiri.
Ni simu poa sana kwa kweli, Sijui kwanin inauzwa bei ndogo hivi. Sijajua kama kwenye maduka mengine ambayo siyo ya tigo hence ikakubali na laini zingine bei itakua ni hii hii!!
Last week Tigo wamenipa hii simu Bure Kama zawadi ya mteja wa muda mrefu , iko poa sana!!