marineplex
Member
- Mar 7, 2019
- 20
- 118
Wadau naombeni msaada,
Nina pool table langu natafuta mtu mwenye site/sehemu nzuri kwa maana ya pub, grocery au bar kwa ajili ya kuweka pool table then tupatane malipo.
Nipo tayari kuijengea kibanda ili mradi tu kuwe na pub au grocery au baa.
NB: Sehemu iwe ndani ya Arusha.
Nina pool table langu natafuta mtu mwenye site/sehemu nzuri kwa maana ya pub, grocery au bar kwa ajili ya kuweka pool table then tupatane malipo.
Nipo tayari kuijengea kibanda ili mradi tu kuwe na pub au grocery au baa.
NB: Sehemu iwe ndani ya Arusha.