Asante ila online mpaka ifike ni shughuli na naogopa uncertainties za kodi na shipping fees. bei hii ya 5T ni kama aliyokuwa anauza huyu jamaa wa hapa bongo. Labda nimsubirie kama atazileta tena. Ukiwa na mtu marekani ni rahisi kidogo unaipata kwa dola 500 tu
Asante ila online mpaka ifike ni shughuli na naogopa uncertainties za kodi na shipping fees. bei hii ya 5T ni kama aliyokuwa anauza huyu jamaa wa hapa bongo. Labda nimsubirie kama atazileta tena. Ukiwa na mtu marekani ni rahisi kidogo unaipata kwa dola 500 tu
Agiza mkuu, Mimi natumia 3T na nzuri Sana. Wakati wa kuagiza zingatia sub model iwe ya Europe/Asia ndio LTE karibu zote za hapa mjini zinashika. China model unapata LTE ya Zantel na north America hamna kabisa 4G(Labda ambayo Sifahamu) though 3G zote utazipata kwenye zote. Pia usiitumie ilhali haina screen protector, Digitizer yake msala.
Asante mkuu pale nilipita wanazo 5 na 5T. Bei zao zimechangamka ila nawaelewa kwa sababu ya kusafirisha, kodi ya duka, kodi ya mzee mkubwa n.k. ila wanakupa warranty na receipt.