Tafuta online, kwa bongo si rahisi kuzipata. Hata ukipata ni kwa bei kubwa...
![]()
Mkuu nenda City Mall, ukiingia tu langoni duka la pili mkono wa kulia wanzano 3, 3T, 5 na 5T.Habari wakuu
Natafuta simu ya Oneplus 5T hapa bongo, kuna mtu anajua inaweza kupatikana wapi? Wauzaji wwngi hawana hii
hi inauzwa sh ngapi hapa bongo?Tafuta Xiaomi MI 5, MI 6, au MI Mix2 maana ndio mshindani mkubwa wa honor, oneplus na oppo ktk soko la smartphone China kwa sasa![]()
![]()
![]()
Kwa bongo sijajua, ila unaweza pata kuanzia laki nane sababu ni high end.hi inauzwa sh ngapi hapa bongo?
acha woga mkuu, mtafute MwlRcT yuko humu jf hasa kule kwenye forum ya matangazo anakuagizia na anakufikishia hadi ulipo.Asante ila online mpaka ifike ni shughuli na naogopa uncertainties za kodi na shipping fees. bei hii ya 5T ni kama aliyokuwa anauza huyu jamaa wa hapa bongo. Labda nimsubirie kama atazileta tena. Ukiwa na mtu marekani ni rahisi kidogo unaipata kwa dola 500 tu
pouwa mdauKwa bongo sijajua, ila unaweza pata kuanzia laki nane sababu ni high end.
Asante mkuu pale nilipita wanazo 5 na 5T. Bei zao zimechangamka ila nawaelewa kwa sababu ya kusafirisha, kodi ya duka, kodi ya mzee mkubwa n.k. ila wanakupa warranty na receipt.Mkuu nenda City Mall, ukiingia tu langoni duka la pili mkono wa kulia wanzano 3, 3T, 5 na 5T.